Skip to main content

Shule ya upili ya kaya tiwi yafungwa


Shule ya upili ya Kaya Tiwi katika kaunti ya Kwale imefungwa kwa muda, baada ya wanafunzi kuzua rabsha katika shule hiyo mapema leo asubuhi, wakidaiwa kuzua vurugu hizo wakipinga uhamisho wa mwalimu mkuu wa shule hiyo Chigamba Chilembi

Comments

Popular posts from this blog

Youths,drivers of economic change

Washukiwa wa mauaji Shakahola wakana Mashtaka